Menongue
Menongue ni mji uliopo kusini mashariki mwa nchi ya Angola katika mkoa wa Cuando Cubango. Ndio makao makuu ya mkoa huo.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Menongue kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |