Mgogoro wa kimazingira

kutokukubaliana kuhusu maliasili

Mgogoro wa kimazingira (kwa Kiingereza: Environmental conflict) ni mgogoro unaosababishwa na uharibifu wa mazingira kwenye masuala ya kushindwa kusimamia rasilimali za mazingira.[1]

Migogoro ya kimazingira hupatikana katika sehemu mbalimbali kama kwenye madini,uchafu,nakadhalika

Mara nyingi pande tofauti zinahusishwa ikiwemo watetezi wa mazingira ambao wanataka kulinda mazingira na watu au makampuni yanayolenga kutumia maliasili bila kujali athari hasi kwa mazingira mfano migodi ya madini.[2] Athari hasi hutokea pamoja na kuachia kemikali za sumu hewani au majini, kukata miti mingi, matumizi ya maji mengi mno, kusababisha machafuko ya aina mbalimbali, kuhatarisha ekolojia ya eneo husika.[3]

Marejeo hariri