Misia (kwa Kigiriki: Μυσία, Mysía; kwa Kituruki: Misya) ilikuwa eneo la Asia Ndogo ya zamani, kaskazini magharibi mwa rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki).

Mahali pa Misia.

Ilipakana na Bahari ya Marmara, Bitinia, Frigia, Lydia, Eolia, Troa na Proponto, ingawa mipaka yake ilibadilikabadilika.

Kati ya miji yake, muhimu zaidi ulikuwa Pergamo.

Inatajwa na Matendo ya Mitume (16:7-8) katika kusimulia safari ya pili ya kimisionari ya Mtume Paulo.

Tanbihi hariri

Coordinates: 40°00′N 28°30′E / 40.0°N 28.5°E / 40.0; 28.5

  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Misia kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.