Mkaa
ukarasa wa maana wa Wikimedia
Mkaa inaweza kumaanisha
- Makaa - fueli inayotengenezwa kwa kupashia kuni moto na kuzia hewa
- Makaa mawe - fueli yenye umbo la mwamba
- Mkaa (mti) - mti wa aina aleurites moluccana, ganda lake hutumiwa kama dawa
- Mwindaji - mtu anayewinda
- Kaa (Mnyama mwenye magamba) ni aina ya mnyama ambaye yupo katika kundi la krasteshia anayeishi baharini na ana jozi tano za miguu.