Mkoa wa Bolu


Bolu ni mkoa uliopo kaskazini-magharibi mwa Kanda ya Bahari Nyeusi nchini Uturuki, upo katikati ya mji wa Istanbul na Ankara. Umechukua eneo la kilomita za mraba 7,410 na idadi ya wakazi takriban 270,417.

Mnara wa Köroğlu katika manispaa ya Bolu
Flag of Turkey.svg Mkoa wa Bolu
Maeneo ya Mkoa wa Bolu nchini Uturuki
Bolu districts.png
Maelezo
Kanda: Kanda ya Bahari Nyeusi
Eneo: 7410 (km²)
Idadi ya Wakazi 270,417 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 14
Kodi ya eneo: 0374
Tovuti ya Gavana http://www.bolu.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/bolu

Mji mkuu wake ni Bolu.

Wilaya za mkoani hapaEdit

Mkoa wa Bolu umegawanyika 9 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya NjeEdit

  Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bolu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.