Mkoa wa Kati (Zambia)

Mkoa wa Kati (Central Province) ni moja ya mikoa 9 ya kujitawala ya Zambia lenye wakazi 1,012,257 kwenye eneo la 94,395 km². Mji mkuu ni Kabwe.

Mahali pa mkoa wa Kati katika Zambia

Jiografia hariri

Miji mikubwa ni pamoja na Kabwe na Mumbwa.

Lunsemfwa na Kafue ni mito muhimu zaidi.

Picha za Kati hariri


 
WikiMedia Commons
  Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kati (Zambia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



 
Mikoa ya Zambia
 
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki
+/-