Mohammed Abdi Abdulaziz

(Elekezwa kutoka Mohamed A. Abdulaziz)

Mohamed A. Abdulaziz (amezaliwa tar. 17 Juni 1958) ni mbunge wa jimbo la Lindi Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. "Mengi kuhusu Mohamed A. Abdulaziz". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-07-12. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.