Mohamed Ibrahim Elmi

Mwanasiasa wa Kenya

Mohamed Ibrahim Elmi ni mwanasiasa wa Kenya, mwanachama wa Orange Democratic Movement na alichaguliwa kuwakilisha eneo bunge la Tarbaj katika bunge la taifa la Kenya tangu uchaguzi wa bunge wa 2007. [1]

Marejeo

hariri
  1. Members Of The 10th Parliament Archived 2008-06-16 at the Wayback Machine. Parliament of Kenya. Accessed June 19, 2008.