Mto Bahr el Zeraf (pia: Bahr ez Zeraf na Bahr az-Zaraf; kwa Kiarabu: بَـحْـر الـزّرَاف, Baḥr ez-Zerāf, maana yake "mto wa twiga") unapatikana Sudan Kusini (Jonglei).

Ni tawimto la Nile Nyeupe. Kwanza unapitia kinamasi cha Sudd.[1]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Bahr al-Ghazal". Encyclopædia Britannica Online Library Edition. Encyclopædia Britannica. Iliwekwa mnamo 2008-01-21. 

Viungo vya nje hariri

9°24′47″N 31°09′47″E / 9.413°N 31.163°E / 9.413; 31.163