Mto Lagh Dera
Mto Lagh Dera ni korongo linalopatikana nchini Kenya na Somalia.
Ni tawimto la mto Juba ambao unaishia katika Bahari ya Hindi.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mto Lagh Dera kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |