Mustafa Mkulo
(Elekezwa kutoka Mustafa Haidi Mkulo)
Mustafa Haidi Mkulo (amezaliwa tar. 26 Septemba 1946) ni mbunge wa jimbo la Kilosa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Mustafa Haidi Mkulo. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-17. Iliwekwa mnamo 2011-11-04.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |