Niğde
Niğde ni mji mkuu wa Jimbo la Niğde huko nchini Uturuki. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi takriban 99,308.
Niğde | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Mkoa | Anatolia ya Kati |
Jimbo | Niğde |
Idadi ya wakazi (2005) | |
- Wakazi kwa ujumla | 99,308 |
Tovuti: www.nigde.gov.tr |

Mji upo m 1,300 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Marejeo
haririViungo vya Nje
hariri- District governor's official website (Kituruki)
- District municipality's official website (Kituruki)
- Yesilburç Village Ilihifadhiwa 13 Januari 2017 kwenye Wayback Machine.
- A web portal of Niğde Ilihifadhiwa 9 Aprili 2007 kwenye Wayback Machine.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Niğde kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |