Nilo wa Sinai

(Elekezwa kutoka Nilo wa Ankara)

Nilo wa Sinai (pia: Nilo wa Ankara, Nilo Mzee; karne ya 4430 hivi) anafikiriwa kuwa mfuasi wa Yohane Krisostomo[1].

Picha takatifu ya Mt. Nilo wa Sinai.

Baada ya kuwa meya wa jiji la Konstantinopoli, alikwenda kuishi kama mmonaki kwenye Mlima Sinai pamoja na mtoto wake Theodulo, huku mke wake na mtoto mwingine wakienda kuishi vilevile nchini Misri.

Mwishoni[2] akawa abati wa monasteri karibu na Ankara, Galatia, leo nchini Uturuki[3], maarufu pia kwa maandishi yake[4][5].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 12 Novemba[6].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Nikephoros Kallistos, hist. Eccl., 14, 53, 54.
  2. Tillemont, ib., p. 405.
  3. https://www.ccel.org/ccel/wace/biodict.html?term=Nilus,%20an%20ascetic%20of%20Sinai
  4. The writings of St. Nilus of Sinai were first edited by Petrus Possinus (Paris, 1639); in 1673 Suarez published a supplement at Rome; his letters were collected by Possinus (Paris, 1657), a larger collection was made by Leo Allatius (Rome, 1668). All these editions are used in Patrologia Graeca, vol. 79.
  5. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92745
  6. Martyrologium Romanum

Vyanzo hariri

  • Nikephoros Kallistos, Hist. Eccl., XIV, xliv
  • Leo Allatius, Diatriba de Nilis et eorum scriptis in his edition of the letters (Rome, 1668)
  • Tillemont, Mémoires pour servir à l'histoire ecclésiastique, XIV (Paris, 1693–1713), 189-218;
  • Fabricius-Harles, Bibliotheca graeca, X (Hamburg, 1790–1809), 3-17;
  • Ceillier, Histoire générale des auteurs sacrés, XIII (Paris, 1729–1763), iii;
  • Josef Fessler-Bernard Jungmann, Institutiones Patrologiœ, II (Innsbruck, 1896), ii, 108-128.

Viungo vya nje hariri

 
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.