Nomalungelo Gina

Mwanasiasa wa Afrika kusini ambaye amekua mbunge wa African national Congress Kuanzia 2003


Nomalungelo Gina' ni mwanasiasa wa "Afrika kusini" Ambaye amekua mbunge wa African national Congress Kuanzia 2003.[1]

Nomalungelo Gina
Kazi yake Naibu waziri wa biashara



Kwa Sasa Ni naibu waziri wa biashara, viwanda na ushindani. Kama waziri alitetea kuuza nje bidhaa za kilimo kipindi Cha uviko 19.


Marejeo hariri

  1. "Ms Nomalungelo Gina - Parliament of South Africa". www.parliament.gov.za. Retrieved 13 September 2021
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nomalungelo Gina kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.