Otimus alikuwa padri[1] wa Misri katika karne ya 3 aliyeuawa kwa imani yake ya Kikristo wakati wa dhuluma ya Kaisari Diokletian[2].

Kanisa la Kikopti linamheshimu kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Septemba.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Holweck, F. G. A Biographical Dictionary of the Saint. St. Louis, MO: B. Herder Book Co. 1924.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.