Paloma Costa Oliveira ni mwanafunzi wa sheria, mwanajamii na mazingira, mwanaharakati wa baiskeli, mwalimu wa hali ya hewa na mhamasishaji wa vijana wa Brazil. [1]

Paloma Costa

Yeye ni mmoja wa viongozi saba vijana wa hali ya hewa (umri wa miaka 18-28) walioteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kwenye Kikundi cha Ushauri cha Vijana kuhusu hatua za kimataifa za kukabiliana na mzozo wa hali ya hewa na kuepusha mabadiliko ya hali ya hewa. [2] [3]

Marejeo hariri

  1. "Jovem ativista brasileira abre cúpula de clima da ONU, em Nova York". ISA - Instituto Socioambiental. 
  2. Blazhevska, Vesna. "Young leaders tapped to invigorate UN’s climate action plans, hold leaders to account". 
  3. "Estudante do DF é única brasileira em Grupo Consultivo da ONU sobre mudança climática". G1. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paloma Costa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.