Papa Anastasio II alikuwa Papa kuanzia tarehe 24 Novemba 496 hadi kifo chake tarehe 19 Novemba 498[1]. Alitokea Roma, Italia.

Papa Anastasi II.

Alimfuata Papa Gelasio I akafuatwa na Papa Symmachus.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Anastasio II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.