Papa Konstantin

papa
(Elekezwa kutoka Papa Constantine)

Papa Konstantin alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Machi 708 hadi kifo chake tarehe 9 Aprili 715[1]. Alitokea Syria[2].

Papa Konstantino.

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Constantinus.

Alimfuata Papa Sisinnio akafuatwa na Papa Gregori II.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Konstantin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.