Papa Gregori V
Papa Gregori V (takriban 972 – Februari/Machi 999) alikuwa Papa kuanzia tarehe 3 Mei 996 hadi kifo chake[1]. Alitokea Saksonia, Ujerumani[2].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bruno wa Carinthia.
Alimfuata Papa Yohane XV akafuatwa na Papa Silvester II.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
Viungo vya njeEdit
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |