Papia na Mauro (walifariki Roma, Italia, karne ya 3 hivi) walikuwa askari waliouawa kwa ajili ya imani yao ya Kikristo.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 29 Januari[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.