Paramore ilianzishwa huko Franklin, Tennessee mwaka wa 2004, na Hayley Williams (Waimbaji mkuu) sambamba na Josh Farro (Mwanagitaa mkuu / anayenga mkono Waimbaji), Jeremy Davis (bass gitaa)]] na [[Zac Farro (mapipa). Kabla ya kuanzishwa kwa Paramore, wanabendi wengine hawakupendelea Williams awe mwimbaji, lakini kwasababu walikuwa marafiki alianza kutunga nyimbo nao na kisha kuwa mwanabendi. Bendi kimetoa Albamu tatu kwenye studio, All We Know Is Falling, Riot!, Na Brand New Eyes na vile vile live album mbili, na mmoja EP albums. Mwezi Juni 2009, bendi ilimkaribisha Taylor York (rhythm guitar) kama mwanachama rasmi, ingawa yeye alikuwa tayari alikuwa akicheza na bendi kutoka mwaka wa 2007.

Paramore

Maelezo ya awali
Asili yake Franklin, Tennessee.
Aina ya muziki Rock
Miaka ya kazi 2004-
Wanachama wa sasa
Hayley Williams
Jeremy Davis
Taylor York

Muziki hariri

Albamu

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: