Parteni na Kalogeri
Parteni na Kalogeri (walifariki Roma, Italia, 304) ni kati ya Wakristo waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian dhidi yao[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
haririTanbihi
haririMakala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |