Peter Benjamin Hessler[1](alizaliwa Juni 14, 1969) ni mwandishi na Mwandishi wa habari wa Marekani. Ni mtunzi wa vitabu vinne kuhusu China na amechangia makala nyingi kwenye New Yorker na National Geographic na machapisho mengine. Mwaka 2011, Hessler alipokea utambulisho wa Ushirika wa MacArthur na faraja kwa nia iliyochunguzwa juu ya matatizo ya maisha ya watu waka waida katika mabadiliko ya haraka ya Jamii kwa kipindi cha mageuzi China.[2]

Marejeo hariri

  1. Press, The Associated (1991-12-09), "32 U.S. Rhodes Scholars Are Selected to Study in Oxford for 1992", The New York Times (in en-US), ISSN 0362-4331, retrieved 2022-08-05 
  2. MacArthur Foundation. www.macfound.org. Iliwekwa mnamo 2022-08-05.
  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Peter Hessler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.