Kipanya (kompyuta)

(Elekezwa kutoka Puku (komyuta))

Kipanya cha kompyuta (pia: puku) ni kifaa cha kuingizia data katika tarakilishi.

Puku ya kompyuta yenye vitufe viwili

Kipanya hushikwa kwa mkono na kusukumwa mezani. Mwendo wake husababisha mshale wa kasa (kielekezi) kutembea kwenye kiwamba.

Mtumiaji hulenga kwa mshale huko anapochagua kotoa amri kwa kubofya kitufe cha kipanya. Tendo hili lasababisha amri inayoonekana kama alama au mchoro kwenye skrini kutekelezwa na programu ya kompyuta.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.