Raphael Benedict Mwalyosi
Raphael Benedict Mwalyosi (amezaliwa tar. 3 Desemba 1946) ni mbunge wa jimbo la Ludewa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama piaEdit
MarejeoEdit
- ↑ Mengi kuhusu Raphael Benedict Mwalyosi (13 Julai 2006). Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Viungo vya nnjeEdit
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |