Dr. Raphael Masunga Chegeni (amezaliwa 25 Mei 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Busega kwa miaka 20152020. [1]

Kwenye Julai 2022 aliteuliwa na rais Samia Suluhu Hassan kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara[2] lakini baada ya siku tatu uteuzi wake ulitenguliwa[3].

Marejeo

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. President Samia changes 10 Regional Commissioners, drops 9 in latest appointments Archived 28 Julai 2022 at the Wayback Machine., The Citizen 28 Julai 2022
  3. https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/rais-samia-atengua-uteuzi-wa-rc-mara-ateua-mpya-3898382