Roberta Lange (alizaliwa mwaka 1957)[1] ni mwanasiasa kutoka Marekani anayehudumu kama mshiriki wa Seneti ya Nevada kutoka wilaya ya 7. Aliapishwa kuanza kuhudumu tarehe 4 Novemba 2020.

Maisha ya awali na elimu

hariri

Roberta Lange alizaliwa Lancaster, California mnamo mwaka 1957 na alikulia Whitefish, Montana. Alihitimu Shahada ya Sayansi katika Elimu ya Kimwili kutoka Chuo Kikuu cha Los Angeles Baptist na kupata cheti cha ufundishaji kwa ngazi ya K–12 kutoka Chuo Kikuu cha Pacific Lutheran.[2]

Marejeo

hariri
  1. "Senator Roberta Lange". www.leg.state.nv.us. Iliwekwa mnamo 2022-02-05.
  2. "Freshman Orientation: Senator Roberta Lange". The Nevada Independent (kwa Kiingereza). 2021-02-15. Iliwekwa mnamo 2022-02-05.
  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Roberta Lange kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.