Roger Federer
Roger Federer (8 Agosti 1981, Basel; tamka: rod-jer fe-de-rer) ni mchezaji tenisi kutoka Uswisi. Federer alishinda mashindano 17 ya grand slam akaongoza mara nne orodha ya wachezaji bora duniani. Federer anatazamiwa na wabingwa wa tenisi kuwa kati ya wachezi bora kabisa katika historia ya michezo hii..[1]
Roger Federer | |
---|---|
| |
Alizaliwa | 8 Agosti 1981 Uswisi |
Kazi yake | sport - tenisi |
Grand Slam hariri
Picha nyumba ya sanaa hariri
Marejeo hariri
- ↑ ATP World Rankings 2 Desemba 2012.
Viungo vya Nje hariri
- Tovuti rasmi Archived 6 Juni 2012 at the Wayback Machine.
- Profile at ATP
- Profile at ITF
- Profile at Davis Cup
Wikimedia Commons ina media kuhusu: