Ros de Lanerolle (alizaliwa Januari 22 mwaka 1932 – 23 Septemba 1993), [1] pia anajulikana kama Rosalynde Ainslie, alikuwa mwanaharakati wa Afrika Kusini, mwandishi wa habari na mchapishaji. Akiwa ameishi Uingereza katika miaka ya 1950, alifanya kampeni kikamilifu dhidi ya ubaguzi wa rangi, na baadaye akawa mwanzilishi wa uchapishaji wa wanawake nchini Uingereza, aliyeitwa na Florence Howe "doyenne wa wachapishaji wanaotetea haki za wanawake". [2]

Marejeo hariri

  1. Haward, Pat, "Jennifer Rosalynde de Lanerolle 1932–1993" (obituary), History Workshop Journal (1994), 37 (1):261–266, Oxford University Press. doi: 10.1093/hwj/37.1.261.
  2. Florence Howe, A Life in Motion, New York: The Feminist Press, 2011, p. 397.
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ros de Lanerolle kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.