Saidi Juma Makula

Ni mwanariadha kutoka Tanzania

Saidi Juma Makula (amezaliwa 1 Agosti 1994) ni raia wa Tanzania anayejishughulisha na riadha.

Amewahi kushiriki marathoni nchini Tanzania na kuitangaza Tanzania katika nyanja za Dunia. [1]

Marejeo hariri

  1. Saidi Juma Makula. Rio 2016. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-08-26. Iliwekwa mnamo 2020-11-15.
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Saidi Juma Makula kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.