Salvatore Quasimodo
Salvatore Quasimodo (Modica, 20 Agosti 1901 – Napoli, 14 Juni 1968) alikuwa mwandishi maarufu kutoka nchi ya Italia. Hasa aliandika mashairi. Pia alitafsiri kwa Kiitalia tamthiliya na mashairi kutoka lugha nyingine.
Mwaka 1959 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Salvatore Quasimodo - Parco letterario Salvatore Quasimodo (Kiitalia)
- Salvatore Quasimodo - Official website (Kiitalia)
- Nobel Laureate Page Quasimodo page at the Nobel Prize website, with links to his biography and to his Nobel lecture "The Poet and the Politician"
- Strada di Agrigento in English translation
- Salvatore Quasimodo poems (Kiitalia)
- Salvatore Quasimodo and Agrigento
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Salvatore Quasimodo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |