Sandra van der Aa (alizaliwa 28 Juni 1972 ni mchezaji wa zamani wa tenisi kutoka nchini Uholanzi.

Mnamo tarehe 16 Novemba 1992, alifikia kiwango cha juu zaidi cha uchezaji hadi 263 katika Chama cha Tenisi cha Wanawake (WTA).[1]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sandra van der Aa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.