Scarlett Johansson

mwigizaji wa Marekani (aliyezaliwa 1984)

Scarlett Ingrid Johansson (alizaliwa 22 Novemba 1984) ni mwigizaji wa nchini Marekani.

Johansson katika mwaka 2019 San Diego Comic-Con
Johansson katika mwaka 2019 San Diego Comic-Con

Mwigizaji huyo anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani miaka ya 2018 na 2019, amehusika mara nyingi kwenye orodha ya Forbes Celebrity 100. Filamu zake zimeingiza zaidi ya dolar za Kimarekani bilioni 14.3 duniani kote, na kumfanya Johansson kuwa kwenye Orodha ya waigizaji walioingiza pesa nyingi zaidi duniani.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Scarlett Johansson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.