Seffa (kwa kiarabu: السفة) ni chakula cha ki Maghrebi[1] kinachoandaliwa na siagi, mlozi na mdalasini.[2] Pia chakula hiki kinaweza kuandaliwa na nyama[3] na pia huweza kuandaliwa na tambi za kukaanga au Wali.[4] [5]Chakula hichi huliwa baada ya mlo. Mara nyingi chakula hocho hukiwa katika sherehe za harusi na mikusanyiko ya kifamilia.

Seffa

Marejeo hariri