Selina Boateng

mwimbaji wa kwaya wa Ghana

Selina Boateng ni mwanamuziki wa Injili wa Ghana . [1]

Kazi hariri

Selina alitembelea baadhi ya magereza pamoja na Nabii Albert Asihene-Arjarquah mwaka wa 2014. [2] Uwezo wake wa kuimba kwa lugha ya Kifaransa na Kiingereza umempatia fursa ya kuhudumu katika nchi kama vile Ufaransa, Ubelgiji, Norway na Ujerumani . [3] Ndani ya nchi, Selina amekuwa kwenye programu na wasanii kama DSP Kofi Sarpong, Nacee, Ceccy Twum, KODA, Joe Mettle, Eugene Zuta, Ohemaa Mercy na Rev Cynthia McCauley .

Marejeo hariri

  1. "Selina Boateng, others for OJ's album launch". www.ghanaweb.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-10-13. 
  2. "Prophet, musician to embark on Prisons Tour". MyJoyOnline.com (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2020-10-13. 
  3. "Twi songs are not recognized abroad - Selina Boateng". www.ghanaweb.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2020-10-13. 
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Selina Boateng kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.