Sheebah Zalwango
Mwanasoka wa Uganda
Sheebah Zalwango ( 2000 au 2001) ni mwanasoka wa Uganda ambaye anacheza kama kiungo katika klabu ya FUFA Women Super League Asubo Gafford Ladies na timu ya taifa ya wanawake ya Uganda.
Sheebah Zalwango | |
Amezaliwa | 20 Agosti 2000 Uganda |
---|---|
Nchi | Uganda |
Majina mengine | Sheebah Zalwango |
Kazi yake | Nahidha katika klabu |
Kazi katika klabu hariri
Nabbosa aliichezea Asubo Gafford Ladies ya nchini Uganda.[1]
Kazi Kimataifa hariri
Nabbosa aliichezea Uganda katika ngazi ya juu wakati wa Mashindano ya Wanawake ya COSAFA 2021.[2]
Marejeo hariri
- ↑ - (2022-01-25). "FUFA: Federation of Uganda Football Associations Coach Lutalo names Crested Cranes provisional squad ahead of AWCON Qualifiers against Kenya". FUFA: Federation of Uganda Football Associations (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-03-05.
- ↑ "Sheebah Zalwango - Soccer player profile & career statistics - Global Sports Archive". globalsportsarchive.com. Iliwekwa mnamo 2022-03-05.