Sheria ya Udhibiti na Upunguzaji wa Silaha ya Marekani, mwaka 1961

Sheria ya Udhibiti na Upunguzaji wa Silaha ya Marekani, mwaka 1961, 22 U.S.C. § 2551, iliundwa ili kuanzisha baraza tawala la kudhibiti na kupunguza uzalishaji wa silaha  ili kulinda ulimwengu na mizigo ya silaha na janga la vita. Sheria hiyo ilitoa kipengele muhimu katika sera ya mambo ya nje katika Utawala wa John F. Kennedy ambayo iliambatana na sera ya usalama ya taifa ya Marekani.

Marejeo hariri