Shukuru Kawambwa
Dr. Shukuru Jumanne Kawambwa (amezaliwa 15 Desemba 1957) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania.[1]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b3/Shukuru_Kawambwa.jpg/220px-Shukuru_Kawambwa.jpg)
Aliwahi kuwa waziri.
Tanbihi
haririChanzo
hariri- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |