Siriaki na Paula (walifariki Urusi, leo Sougda, nchini Tunisia, 303) walikuwa ndugu waliouawa katika ujana wao kwa kupigwa mawe wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano dhidi ya Wakristo[1].

Watakatifu Siriaki na Paula katika kigae huko Malaga, Hispania, wanapoheshimiwa zaidi.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 18 Juni[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.