Soukous

aina ya muziki

Soukous (pia inajulikana kama Lingala au rumba la Kikongo) ni jina la kutaja aina maarufu ya muziki wa dansi ambao umetoka katika Kongo katika miaka ya 1940, hasa ulitokana na athira ya Cuban son. Mtindo huu ulianza kupata umaarufu zaidi katika miaka ya 1960 na 70. Soukous hufahamika kama Lingala nchini Tanzania, Kenya, na Uganda hasa kwa sababu mashairi yake huimbwa kwa lugha ya Kilingala. Huko nchini Zambia na Zimbabwe, ambapo muziki wa Kikongo napo upo maarufu, bado huitwa kwa jina la rumba. Leo hii, unashikisha mitindo mingine kama vile kwasa kwasa na muziki wa kasi juu wa zouk.

Historia hariri

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

Bibliografia hariri

Viungo vya Nje hariri

Kigezo:Rumba