Soukous
Soukous (pia inajulikana kama Lingala au rumba la Kikongo) ni jina la kutaja aina maarufu ya muziki wa dansi ambao umetoka katika Kongo katika miaka ya 1940, hasa ulitokana na athira ya Cuban son. Mtindo huu ulianza kupata umaarufu zaidi katika miaka ya 1960 na 70. Soukous hufahamika kama Lingala nchini Tanzania, Kenya, na Uganda hasa kwa sababu mashairi yake huimbwa kwa lugha ya Kilingala. Huko nchini Zambia na Zimbabwe, ambapo muziki wa Kikongo napo upo maarufu, bado huitwa kwa jina la rumba. Leo hii, unashikisha mitindo mingine kama vile kwasa kwasa na muziki wa kasi juu wa zouk.
Soukous | |
---|---|
Asili ya mtindo | Muziki wa dansi wa Kikongo, son cubano |
Asili ya utamaduni | Mwishoni mwa miaka ya 1930 nchini Kongo (hasa Kinshasa na Brazzaville) |
Ala | Gitaa (hasa la kufinyanga kidole), besi, ngoma, brasia, sauti |
Michanganyiko ya aina | |
Benga, Mbalax, Makossa, zouk | |
Inapotendeka | |
Midundo ya Kikongo (Kenya, Uganda, Tanzania), soukous ya mwendo-kasi (Paris) | |
Mada nyingine | |
Wanamuziki wa Soukous |
HistoriaEdit
Tazama piaEdit
MarejeoEdit
BibliografiaEdit
- Gary Stewart (2000). Rumba on the River: A History of the Popular Music of the Two Congos. Verso. ISBN 1-85984-368-9.
- Wheeler, Jesse Samba (March 2005). "Rumba Lingala as Colonial Resistance". Image & Narrative (10). http://www.imageandnarrative.be/inarchive/worldmusica/jessesambawheeler.htm. Retrieved 2015-12-13.
Viungo vya NjeEdit
- Soukous katika Open Directory Project
- The Sound of Sunshine: How soukous saved my life Archived 7 Oktoba 2008 at the Wayback Machine.
- Rare recording (1961) of rural finger style Soukous guitarist Pierre Gwa with home made guitar
- GuitOp81's Soukous Guitar site Archived 27 Februari 2017 at the Wayback Machine.