Sylvia Lumasia

mchezaji mpira wa Kenya

Sylvia Lumasia Rasoha (anayefahamika kama Sylvia Lumasi[1]) ni mwanasoka wa Kenya anayecheza nafasi ya mchezaji wa mbele[2] kwenye timu ya Kibera Girls Soccer Academy[3] na timu ya wanawake nchini Kenya.

Kazi za Kimataifa hariri

Lumasia aliishindia Kenya katika ngazi za juu wakati wa 2019 Michuano wa wanawake wa CECAFA[4].

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Sylvia Lumasia kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.