Kwa matumizi mengine ya jina hili angalia Tanga (maana)

Jahazi inayoenda kwa tanga

Tanga ni kipande kikubwa cha kitambaa kinachopokea nguvu ya upepo na hivyo kuwezesha chombo cha kusafiria majini kusogea.

Tanga inafungwa kwenye mlingoti wa jahazi au merikebu na kasi ya upepo inaleta shindikizo kwenye uso wake na hivyo kusababisha mwendo wa chombo chote.

Viungo vya Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
 
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.