Tanzania Environmental Conservation Society

Shirika la Mazingira

Jumuiya ya Uhifadhi wa Mazingira Tanzania (vilevile inajulikana kama TECOSO) ni shirika lisilo la kiserikali lililoundwa mwaka 1998 na kusajiliwa Februari 11, 1999, chini ya sheria kifungu CAP.337 R.E.2002 kutoka kwenye jumuiya(ombi la usajili) sheria ya mwaka 1954.[1] [2] Wamelenga kutunza mazingira na makazi ya wanyama, kukuza mbinu ya kuunganisha ikijumuisha maendeleo ya jamii,elimu ya mazingira,uhifadhi wa mazingira na utalii wa mazingira. shirika vilevile ni kipande cha mashine ya kuunga mkonokwenye kushirikiana na kufanya utafiti wa nyanjani,maendeleo ya uongozi,mafunzo ya ufundi ambao unazingatia usawa wakijinsia.

Mbinu ya uhifadhi hariri

TECOSO Tanzania vilevile inaunganisha mtandao baina ya mabara kwa mabadilishano ya taarifa na kujenga uwezo wa jitihada za utunzaji. inafanya kazi na washirika tofauti,yakiwemo mashirika ya kiserikali au taasisi, watafiti,taasisi za masomo ya ndani na kimataifa, vyuo na NGOs nyingine.

Baadhi ya shughuli za taasisi zinafanyika kwenye mkoa wa Arusha, Manyara, Dar es Salaam na Kilimanjaro.

Marejeo hariri

  1. Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine
  2. Jali Mazingira yakutunze