Tekirdağ ni mji uliopo Thrace ya Mashariki, katika sehemu ya Kiulaya, Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Tekirdağ na unaonekana na wengi kama mji ni mdogo sana, mji mtulivu sana kuliko kituo chake cha kibaishara cha Çorlu, ambapo ndipo kuna makao makuu ya serikali. Idadi ya wakazi kwa mujibu wa sensa ya mwaka wa 2008 ilikuwa 137,962[1].

Mji wa Tekirdağ

Mji wa Tekirdag ulipewa majina tofauti kabla haujapata jina lake la sasa. Ulikuwa ukijulikana kama “Rodosto” wakati wa zama za Byzanti, “Rodoscuk” baada ya kuangukia katika ufalme wa Osmani kunako karne ya 14. Baadaye ilipata jina karibu linalofanana na hili la sasa kunako karne ya 18: “Tekfurdag”... Ulianza kuitwa “Tekirdag” baada ya kutangazwa kwa Jamhuri.

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-04-01. Iliwekwa mnamo 2009-06-25. 

Viungo vya Nje hariri


  Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tekirdağ kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.