Thomas Garland Jefferson

(1847-1864)

Thomas Garland Jefferson (Januari 1, 1847Mei 18, 1864) alikuwa mmoja wa Kadeti wa VMI waliouawa katika Mapigano ya New Market. Aliaga dunia siku tatu baada ya mapigano kutokana na majeraha aliyoyapata. Alikuwa na umri wa miaka 17 na mjukuu wa rais wa zamani wa Marekani, Thomas Jefferson.[1]

Marejeo

hariri
  1. "Thomas Garland Jefferson and "Mother Crim" – Shenandoah at War".
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Thomas Garland Jefferson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.