Timgad (kwa Kiarabu: تيمقاد; inajulikana kama Marciana Traiana Thamugadi) ulikuwa mji wa Kirumi katika milima ya Aurès ya Algeria. Ilianzishwa na mtawala wa Kirumi Trajan aliyeiita Marciana Traiana.[1]

Timgad Trajan

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Timgad kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.