Tropical Teqniks ni jina la albamu ya pili kutoka kwa kundi zima muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania, Kwanza Unit. Alabmu ilitoka mwaka 1996 chini ya lebo ya Madunia Foundation - Rumba Kali African Hip Hop (RAHH). Nyimbo kali kutoka katika albamu ni pamoja na Suckers, Nata, Play Ya Part na nyingine kibao. [1] Hii ndiyo albamu ya kwanza ya hip hip nchini Tanzania kutolewa katika CD.

Tropical Teqniks
Tropical Teqniks Cover
Studio album ya Kwanza Unit
Imetolewa 1996
Imerekodiwa 1995/96
Aina Political rap, rap ya kujitambua, hip hop
Lebo RAHH Records
Mtayarishaji Master Jay
Ludigo
P. Funk
Rhymson
Wendo wa albamu za Kwanza Unit
Kwanza Unit
(1994)
"Tropical Teqniks"
(1996)
Kwanzanians
(2000)


Orodha ya nyimbo hariri

Hii ni orodha ya nyimbo zinazopatikana katika albamu hii.

  1. A1 - Tekniqs
  2. A2 - Zipi?
  3. A3 - Suckers
  4. A4 - Nata
  5. A5 - One 4 Me
  6. B1 - Randa
  7. B2 - Dedication (4 A Late Homie)
  8. B3 - Play Ya Part
  9. B4 - Shout Out
  10. B5 - Freestyle (Live August 1996)

Marejeo hariri

  1. Tropical Teqniks katika Discogs
  Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tropical Teqniks kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.