Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa

(Elekezwa kutoka UNDP)

Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (Kiingereza: United Nations Development Programme; kifupi: UNDP) ni chombo cha Umoja wa Mataifa (UM) kinachochukua dhima ya kusaidia nchi kufuta umaskini na kuleta maendeleo endelevu ya uchumi na watu wote. UNDP husisitiza kuendeleza uwezo ndani ya nchi kuelekea kujitegemea na usitawi

Ngao ya Umoja wa Mataifa.
Nembo ya UNDP.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu "Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.