Uchanguaji (kwa Kiingereza: sorting) ni mfumo unaotumiwa ili kupanga vitu kwa utaratibu.

Uchanguaji wa chuma.

Katika utarakilishi, uchanguaji ni kupanga data ili kupata taarifa mtandaoni, kwa mfano. Wanaprogramu hutumia kanuni ya programu ili kufanya uchanguaji.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.