Ursula Mtakatifu

(Elekezwa kutoka Ursula na wenzake)

Ursula Mtakatifu (alifariki Koln, Ujerumani, 383) alikuwa mwanamke wa Ukristo wa Kiselti anayeheshimiwa na Wakatoliki na Waanglikana kama mtakatifu bikira mfiadini, ingawa habari zake[1] hazina hakika sana, kiasi kwamba kifo chake kinatajwa kutokea miaka tofauti: 238, 283, 383, 451 na hata 640[2].

Mt. Ursula.
Mchoro wa Hans Memling, Kifodini cha Mt. Ursula.

Sikukuu yake na ya wenzake huadhimishwa tarehe 21 Oktoba[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Poncelet, Albert. "St. Ursula and the Eleven Thousand Virgins". The Catholic Encyclopedia. Vol. 15. New York: Robert Appleton Company, 1912. Accessed 28 June 2013.
  2. Because of the lack of definite information about her and the anonymous group of holy virgins who accompanied her and on some uncertain date were killed at Cologne, they were removed from the General Roman Calendar when it was revised in 1969. See: Calendarium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 1969), p. 143
  3. Roman Martyrology (Martyrologium Romanum): The Complete Martyrology in English for Daily Reflection. The Boston Catholic Journal (2016).

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.